JPM aitaka Takukuru 'kutohukumu' bila ushahidi uliokamilika.. #share



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameitaka Takukuru kuchukua hatua pale panapokuwa na Ushahidi dhidi ya watu wanaojihusisha na vitendo vya rushwa..
Ameyasema hayo leo alipotembelea ofisi za Takukuru.



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search