Kama Ulipitwa na hii Good News:: Watu wa TECNO wametuletea SPARK TOUR inayoendelea 'kubamba' ndani ya Jiji.. #share


TECNO Mobile, kampuni inayoongoza kwa simu bora nchiniTanzania imetambulisha mfumo mpya wa burudani namatangazo nchini ukiambatana na simu mpya katika mpangaliowa matokeo mapya ya SPARK. Tecno Mobile imeanzishamtindo mpya wa kuwafwata wateja wake mitaani na kuwapaburudani kupitia wanamuziki mbalimbali. Mtindo huo maarufukama SPARK TOUR umekua maarufu katka kona za mitaa zaJiji la Dar es Salaam.


Tecno Spark ambayo simu tambulishwa, ni simu ambayoimekua gumzo kwa kuwapa wateja wengi wa kampuni hiyofuraha kwani bei inayouzwa linganisa na ubora wa simu hiyo nifaida kubwa kwa wateja wa Tecno Spark. Kupitia simu hii yaSPARK vijana wa kitanzania wameshawishika kuwasha checheza vipaji vyao na kuzionesha kupitia jukwaa la Tecno SPARK udhamini wa karibu wa Tecno Mobile. 

Ofisa Mahusiano wa Tecno mobile Bwana. Eric Mkomoye amesema kua nia na madhmuni ya Tecno ni Kuendeleakuwaltea watanzania simu bora zenye uwezo mzur ila kwa bei wanazoziweza kutokna na vipaji vyao. Aliongeza kua SPARK TOUR itawafikisha watanznia wote nyanda za ziwa, kaskazini na hata mikoa ya katikati hivyo zawadi za aina mbalimbaliikiwemo Tecno spark yenyewe zitatolewa. (Mitaa ya jiji la Dar es salaam ikiwashiwa cheche za burudani na SPARK TOUR)

Kama isemavyo kua kipaji chako ndio ufunguo wako , ndioinavyokua kwa vijana na watu wanonesha vipaji kupitia simu hiimtaa kwa mtaa jijini Dar es salaam, uvumizi wa kiburudaniunafwanywa na kamouni Tecno Huku lengo likiwa pia kutoanafasi kwa viijana wa kitanzania kuonesha uwezo wao iliwaweze kusaidiwa. 

Tecno SPARK imekuja ikiwa na utofauti mkubwa huu ikiigemea katika upande wa kiburudanizaidi .Simu inahamasisha vijana kua na mitindo inatambulishwa ikiwa na kamera nzuri yenyepicha ang’avu kwa 13MP, Teknolojia ya mix flash, usalama wa kibabe wa kutumia alama zavidole , kioo chake ni kina ukubwa wa inchi 5.5 , 16gb za kuweka vitu ndani wakati inasukumadata kwa 2gb ram.


Tecno Spark inakuja ikiwa na rangi mbalimbali rangi nyeusi,(phatom black), rangi ya dhahabu (champagne gold) na rangi ya blue (coral blue).



(mitaa ya jiji la Dar es salaam ikiwashiwa cheche za burudani na SPARK TOUR)




About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search