News(+Video): Tumaini Makene Kathibitisha kukamatwa kwa Mbunge kijana wa Chadema MHE.Esther Bulaya jioni ya Leo.. #share
Kuna taarifa zilizosambaa sana mtandaoni jioni hii za kumuhusu Mbunge wa Bunda Mjini na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Ester Bulaya kukamatwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Rorya katika Mkoa wa Mara akiwa katika majukumu ya kichama.
No comments:
Post a Comment