UTEUZI: JPM 'ampa kitengo' Professor Mruma.. ni yule Mtaalamu wa Jiolojia na Makanikia One!! #share

Rais wa Jamhuri ya Muungno wa Tanzania Dkt. John Joseph Pombe Magufuli, Leo Ijumaa ya Tarehe 18/08/2017, amemteua Professor Abdulkarim Mruma kuwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Kuhifadhi Mafuta (TIPER). 

Kwa Mujibu wa Taarifa iliyopatikana mchana huu kutoka Ikulu Jijini Dar es Salaam, Rais pia amewateua Maprofesa wengine wawili kwenye nafasi nyengine tofauti tofauti.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search