Baada ya Kukamatwa na Jeshi la Polisi, Zitto Asema Nchi Tumewakabidhi Washamba...Habari Kamili Hii Hapa na Matukio360..#share
WAKATI taarifa zikieleza kuwa Kiongozi wa Chama cha
ACT-Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe amekamatwa na jeshi la
Polisi kwa agizo la Katibu Mkuu wa Bunge Dk . Thomas Kashililah.

Mbunge huyo ameibuka katika mitandao ya kijamii na kudai kuwa
nchi imekabidhiwa kwa kwa washamba. Zitto ameandika hivi.
“Wanapangiwa mauaji. Nchi imewashinda. Anguko kubwa la uchumi
laja sababu ya maamuzi ya kishamba na kukosa maarifa. Hata hivyo watabaki
werevu kadhaa na watarejesha nchi yetu kwenye mstari,” amesema Zitto kwenye
ukurasa wake wa Fecebook.
Na Mwandishi Wetu
No comments:
Post a Comment