Breaking: Mbunge wa Geita Vijini Joseph Msukuma anashikiliwa na Jeshi la Polisi.. sare.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Geita, Joseph Msukuma ambaye pia ni Mbunge wa Geita Vijijini anashikiliwa na Jeshi la Polisi. 

Taarifa za awali zinaeleza kuwa Mbunge huyo anashikiliwa kwa kosa la kuongoza wananchi hivi karibuni kuvamia Mgodi wa Dhahabu wa Geita.

Endelea kufuatilia Matukio360 itakijuza undani wa taarifa hii kadri taarifa zitakavyopatikana

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search