CCM Yazidi Kumtibulia Zitto Kabwe...Habari Kamili Matukio360 Imekusogezea Hapa...#share

WANACHAMA watatu wa Chama cha ACT -Wazalendo akiwemo aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Morogoro kusini Mashariki mwaka 2015 na Mwenyekiti wa jimbo la Morogoro  Kusini Mashariki wamehamia Chama Cha Mapinduzi (CCM),  anaandika  Christina Haule.

Wanachama hao yumo aliyekuwa mgombea nafasi ya ubunge katika uchaguzi mkuu uliopita Dk. Daud Mollel, Mwenyekiti wa chama hicho Dk. Hamimu Hongo na Yahya Nasoro mwanachama wa kawaida ambao wameamua kujiunga na CCM.
Wanachama hao wamesema kwa sasa hawana sababu ya  kuendelea kubaki upinzani kutokana na utendaji wa serikali ya awamu ya tano chini ya  Rais Magufuli.
Chama hicho ambacho kimepata pigo kinaoongozwa na Mwenyekiti wake,  Zitto Kabwe ambaye pia ni mbunge wa Kigoma mjini.

Makada  hao wapya wa CCM walijitokeza katika kikao cha Halmashauri Kuu ya mkoani morogoro na kuweka  bayana dhamira yao ya kuhamia CCM  na namna walivyoguswa na utendaji wa serikali ya awamu ya tano.
Katibu wa CCM mkoa wa Morogor

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search