UPDATES: Watanzania Watakiwa Kupuuza Taarifa za Hali ya Tundu Lissu Mitandaoni...Habari Kamili Hii Hapa na Matukio360..#share

TAARIFA FUPI TOKA NAIROBI.


Mh Lissu anaendelea na Matibabu hapa Nairobi, hali yake ni "critical but stable " kumekuwa na taarifa mbali mbali zitolewazo katika mitandao ya kijamii naomba tuzipuuze.

Kuhusu hali yake au hatua na taratibu zozote zile Mwenyekiti Mh. Freeman Mbowe ata uarifu umma kadiri itakavyofaa.

Kwa sasa tuwaombe watanzania wote tuendelee kumuombea na kuhimizana kuendelea kuchangia matibabu yake.

Hemed Ali 

Mkuu wa idara ya Uenezi- CHADEMA.

Nairobi Hospital.
Top of Form


About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search