Rais Magufuli kuwatunuku vyeti waliofanya uchunguzi madini...soma habari kamili na Matukio360...#share

Na mwandishi wetu

RAIS wa Tanzania Dk John Magufulu leo atawatunukuu vyeti wajumbe wa kamati zilizofanya uchunguzi kiwango aina na thamani ya madini katika makinikia na baadaye kufanya mazungumzo na kampuni ya Barrick.

Rais Dk Magufuli akikabidhiwa mwenge wa uhuru hivi karibuni visiwani Zanzibar
Oktoba 19, Tanzania na Barrick Gold Cooperation zilifia makubaliano na kutialiana saini mkataba wa kutekeleza mwelekeo mpya wa namna kampuni hiyo itakavyoendesha biashara ya madini ya dhahabu yaliyochimbwa katika migodi yake nchini pamoja na kulipia takribani Dola za kimarekani bilioni 700 za kuonesha nia njema ya kufidia madai ya upotevu wa mapato yaliyotokana na biashara hiyo.

Taarifa hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU Gerson Msingwa

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search