TAARIFA MAALUM: KUUWAWA KWA JAMBAZI MMOJA NA KUPATIKANA KWA BASTOLA AINA YA GLOCK 17... na matukio360


Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dsm mnamo tarehe 21/10/2017 majira ya
0600hrs huko maeneo ya Mivumoni madale Kawe, askari wakiwa doria
walipokea taarifa toka kwenye kituo cha waendesha pikipiki, kuwa kuna
watuhumiwa wa ujambazi watatu wanafyatua risasi, baada ya askari kupata taarifa hizo waliwahi eneo la tukio....




About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search