Magufuli kuzindua 'passport' ya kisasa ya kielektroniki....soma habari kamili na matukio360....#share
Na mwandishi wetu, Dar es salaam
RAIS John Magufuli mapema hii leo anatarajia kuzindua mfumo wa uhamiaji mtandao na hati ya kusafiria 'passport' ya Tanzania ya kielektroniki.
Hati hiyo ya kusafiria ni ya kisasa yenye alama madhubuti za ulinzi
Rais John Magufuli
Uzinduzi huo utafanyika kurasini wilayani Temeke jijini Dar es salaam makao makuu idara ya uhamiaji kuanzia majira ya saa tatu asubuhi.
RAIS John Magufuli mapema hii leo anatarajia kuzindua mfumo wa uhamiaji mtandao na hati ya kusafiria 'passport' ya Tanzania ya kielektroniki.
Hati hiyo ya kusafiria ni ya kisasa yenye alama madhubuti za ulinzi
Rais John Magufuli
Uzinduzi huo utafanyika kurasini wilayani Temeke jijini Dar es salaam makao makuu idara ya uhamiaji kuanzia majira ya saa tatu asubuhi.
No comments:
Post a Comment