Dk Slaa aapishwa kuwa balozi Sweden....soma habari kamili na matukio360...#share
Na mwandishi wetu,Dar es salaam
RAIS John Magufuli leo amewaapisha mabalozi wawili aliowateuwa hivi karibuni.
Mabalozi hao ni Dk Willbrod Slaa ambaye anakuwa balozi nchini Sweden na Muhidin Mboweto anakuwa balozi nchini Nigeria. Hafla hiyo imefanyika Ikulu jijini Dar es salaam
RAIS John Magufuli akiwa na Dk Willbrod Slaa hivi karibuni Ikulu jijini Dar es salaam
RAIS John Magufuli leo amewaapisha mabalozi wawili aliowateuwa hivi karibuni.
Mabalozi hao ni Dk Willbrod Slaa ambaye anakuwa balozi nchini Sweden na Muhidin Mboweto anakuwa balozi nchini Nigeria. Hafla hiyo imefanyika Ikulu jijini Dar es salaam
RAIS John Magufuli akiwa na Dk Willbrod Slaa hivi karibuni Ikulu jijini Dar es salaam
No comments:
Post a Comment