Bashe ataka iundwe kamati kuchunguza usalama wa nchi... soma habari kamili na matukio360...#share


Na Mwandishi Wetu

MBUNGE wa Nzega Mjini (CCM) Hussein Bashe  amewasilisha kwa katibu wa bunge barua ya kusudio la kuundwa kamati teule kuchunguza matukio yanayoonesha kutishia umoja, usalama na mshikamano nchini.

Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Bashe ameandika “Leo asubuhi nimewasilisha Kwa Katibu wa Bunge barua ya kusudio la kuwasilisha Hoja Binafsi ya kuunda Kamati Teule ya Bunge kuchunguza matukio mbalimbali yanayoonesha kutishia umoja, usalama na mshikamano wa Taifa letu,”.




About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search