Dk Aman Kabourou afariki dunia .... soma habari kamili na matukio360...#share
Na mwandishi wetu
MBUNGE mstaafu wa Kigoma Mjini, Dk Aman Walid Kabourou amefariki Dunia Machi 06-2018 usiku.
Dk Aman Kabourou
Taarifa zinaeleza Dk Kabourou alifikishwa Hospitali ya Taifa Muhimbili Machi 4-2018 akitokea Hospitali ya Mkoa wa Kigoma. Alifikishwa MNH saa 13:00 mchana.
Mbunge wa sasa wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe katika ukurasa wa facebook ameandika;
Katika miaka ya 1995 hadi 2005 Kabouroua alikuwa ni miongoni wa wanasiasa walioimarisha upinzani nchini.
Mbali na ubunge wa Kigoma mjini kupitia Chadema, aliwahi kuwa mbunge wa Afrika Mashariki kupitia CCM.
Pia aliwahi kuwa naibu katibu mkuu bara wa Chadema. Vile vile aliwahi kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma.
Mwaka 2015 aligombea ubunge jimbo la kigoma mjini kupitia CCM
MBUNGE mstaafu wa Kigoma Mjini, Dk Aman Walid Kabourou amefariki Dunia Machi 06-2018 usiku.
Dk Aman Kabourou
Taarifa zinaeleza Dk Kabourou alifikishwa Hospitali ya Taifa Muhimbili Machi 4-2018 akitokea Hospitali ya Mkoa wa Kigoma. Alifikishwa MNH saa 13:00 mchana.
Mbunge wa sasa wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe katika ukurasa wa facebook ameandika;
Katika miaka ya 1995 hadi 2005 Kabouroua alikuwa ni miongoni wa wanasiasa walioimarisha upinzani nchini.
Mbali na ubunge wa Kigoma mjini kupitia Chadema, aliwahi kuwa mbunge wa Afrika Mashariki kupitia CCM.
Pia aliwahi kuwa naibu katibu mkuu bara wa Chadema. Vile vile aliwahi kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma.
Mwaka 2015 aligombea ubunge jimbo la kigoma mjini kupitia CCM
No comments:
Post a Comment