Uhamiaji yakanusha.... soma habari kamili na matukio360...#share

Na mwandishi wetu, Dar es salaam
IDARA ya Uhamiaji imekanusha taarifa kwamba watanzania waliopata pasipoti zao Tanzania bara wanazuiliwa kusafiri kwenda nje ya nchi kupitia Zanzibar.

Imesema inafanyia uchunguzi taarifa hizo zilizosambazwa  na itawachukulia hatua ya kisheria wote waliohusika




About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search