TECNO IKISHIRIKIANA NA TIGO IMEWALETEA TECNO CAMON X RASMI TANZANIA.


TECNO ikishirikiana tigo imewaletea TECNO CAMON X ikiwa ni muendelezo wa toleo la ‘CAMON’ iliyoboreshwa zaidi katika upande wa kamera ikiwa na megapixel 20 na mfumo mpya wa kunlock simu ‘FACE ID’.itakayopatikana katika maduka yote ya tigo ikiwa imeambatanishwa na kifurushi cha GB 3  kutoka mtandao wa tigo.

Kampuni ya simu ya TECNO na tigo kwa pamoja wanahakikisha mtumiaji wa TECNO CAMON X anafuraiya kasi ya mtandao wa tigo. TECNO CAMON X ilitambulishwa mwezi huu  nchini Nigeria, ikiwa imeboreshwa zaidi kwenye kamera ya mbele.

TECNO imekua ikishirikiana zaidi na kampuni za mawasiliano kila inapokuja na toleo jipya la simu na sasa kuendeleza utamaduni huo kupitia TECNO CAMON X, ambayo ni kubwa zaidi kulinganisha na toleo lolote la ‘CAMON’. Tigo Tanzania wanaitumia nafasi hii ili kuhakikisha wateja wa kampuni zote mbili kunufaika na kasi ya 4G kutoka tigo na simu yenye ubora zaidi.

Akizungumza na vyombo vya habari wakati wa uzinduzi muongeaji wa kampuni ya TECNO, Bwana Eric Mkomoye alisema “tunayo furaha kuwaletea sokoni simu yenye kamera kali zaidi ikiwa miongoni mwa toleo linalosifika zaidi upande wa kamera ambayo ni TECNO CAMON X  yenye megapixel 20 mbele na sifa nying zaidi zitakazompendeza mtumiaji wa ulimwengu wa kisasa”.

Mr. Mkomoye aliongeza ‘tunajivunia kushirikiana na tigo, kwani ni kampuni yenye kasi nzuri ya mtandao wa 4G na yenye ofa nzuri kwa wateja wake. Hii ni atua nzuri katika ukuaji wa soko la simu kupitia TECNO CAMON X yenye speed ya 4G unauhakika wa kufuraiya simu yako mahali popote duniani”.

Mkubwa wa kitengo cha mauzo wa kampuni ya tigo, Bwana David Umoh pia alipata nafasi yakuongelea ushikirikiano wao na kampuni ya simu ya TECNO, “Dhumuni letu ni kuhakikisha soko la simu linakua zaidi Tanzania huku tukiakikisha wateja wetu wanafuraiya utandawazi kupitia mtandao wetu wa 4G. na ndio maana tigo inakupatia ofay a GB 3 ndani ya miezi sita kwa mtumiaji wa TECNO CAMON X”.

TECNO CAMON X inakubwa wa kioo cha nchi 6.0, ram ya GB 3, na GB 16 memori ya ndani ya simu, megapixel 20 kamera ya mbele, megapixel 16 kamera ya nyuma na aina mpya ya ‘security’ FACE ID pamoja na alama za vidole ‘fingerprint’.


About TECNO.
TECNO Mobile is the premium mobile phone brand of Transsion Holdings with a comprehensive mobile devices portfolio across feature phones, smartphones and tablets. As a brand, TECNO is dedicated to transforming state-of-art technologies into localized products under the guideline of “Think Globally, Act Locally”. Established in 2006, TECNO has presence in more than 40 countries across the globe. As one of the fastest growing international brands, TECNO has achieved a cumulative sales volume of 100 million units. It is now one of the top three mobile phone brands in Africa and a major player worldwide.

.     

For further information visit: www.tecno-mobile.com  or contact:
Eric Mkomoya –  Public Relation Manager
Mobile: +255 717 543251 . eric.mkomoya@tecno-mobile.com

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search