TRA yakusanya sh. trilioni 11.78 kwa miezi tisa ...soma habari kamili na matukio360
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Mapato nchini imekusanya sh. Trilioni 11.78 katika kipindi cha
miezi tisa ya mwaka wa fedha 2017/18 kuanzia Julai 2017 hadi Machi 2018,
ikilinganishwa na Tsh. Trilioni 10.86 ambazo zilikusanywa katika kipindi cha mwaka
wa fedha 2016/17, ambacho ni sawa na ukuaji wa 8.46%.
Mkurugenzi wa huduma na elimu kwa mlipakodi Richard Kayombo akizungumza na waandisi wa habari jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment