BAADA YA KUTUMBULIWA NAPE ANENA YA MOYONI; ASHUKURU TASNIA YA HABARI NA RAIS MAGUFULI !!
ASEMA ALIFUNZWA KUSIMAMIA HAKI: AUSIA MAMBO MAKUU MANNE(4)
- Nimefurahi kufanya kazi na nyie, muungeni mkono Mwakyembe na Rais Magufuli
- Tudumishe amani na upendo wa nchi yetu,
- Nape ni mdogo kuliko nchi,
- wakati wa aliyeniteua ameniondoa mimi nitaendelea kuwatumikia
"Lengo la kuja hapa ni kumshukuru rais kwa alichokifanya, namshukuru kwa kuniamini kwa mwaka mmoja, nampongeza Mwakyembe naye ni mwanahabari"
Aliekuwa Waziri mwenye dhamana ya Habari na Sanaa akiongea na vyombo vya habari mchana huu kutokea juu ya gari baada ya kutokea hali ya sintofahamu katika hoteli aliyoahidi kukutana nayo!
Source: Jamii Forum




No comments:
Post a Comment