#BASHE NAE AMESEMEA UJENZI WA RELI!

April 28, 2017 Mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe alikuwa ni miongoni mwa wabunge waliopata nafasi ya kuchangia bajeti ya Wizara ya Ujenzi, uchukuzi na mawasiliano ambapo kati ya vitu ambavyo hakuacha kuzungumzia ni pamoja na mpango wa serikali kujenga reli ya kati.
VIDEO: ‘Iko wapi ahadi ya Rais Magufuli’ –Mary Mwanjelwa 

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search