BREAKING NEWS!! KUNA UVAMIZI MAENEO UA MBURAHATI UNAKOFANYIKA MKUNATO WA CUF


#UVAMIZI : Inaripotiwa kwamba kuna uvamizi umefanyika katika hoteli ya Vinna iliyopo Mburahati - Dar es Salaam ambapo kulikuwa na 'press conference ' ya baadhi ya wanachama wa Chama Cha Wananchi ( #CUF ).
Wanachama hao ambao wanamuunga Mkono Maalim Seif, waliitisha mkutano na waandishi wa habari kueleza juu ya ujio wa Maalim Seif na mambo mengine yanayowahusu lakini mkutano huo ulivamiwa na watu wenye mapanga na mmoja mwenye bastola.
Inasemekana kwamba watu waliovamia mkutano wa wanachama wa CUF wanaomuunga mkono Maalim Seif ni kutoka upande unaomuunga mkono Prof Lipumba.
Walipovamia mkutano huo waliwashambulia
Wavamizi walikimbia lakini mtu mmoja aliyeshukiwa kuwa mmoja ( anayeonekana pichani ) wao amekamatwa na kushambuliwa na Wananchi wa eneo hilo.
#UVAMIZI : Inaripotiwa kwamba kuna uvamizi umefanyika katika hoteli ya Vinna iliyopo Mburahati - Dar es Salaam ambapo kulikuwa na 'press conference ' ya baadhi ya wanachama wa Chama Cha Wananchi ( #CUF ).
Source: clouds media




No comments:
Post a Comment