KAMA ULIPITWA NA HII YA MBUNGE SUSAN 'KUDAI GARI LAO' KWA MKUU WA MKOA; NDIPO'SA WAZIRI LUKUVI NAE AKATETEA MAAMUZI YA WAPANGAJI WA NHC KUFUKUZWA "TUNAHAULISHA TU UTARATIBU WA UMILIKI WA SERIKALI LAKINI HATUWAONDOI WAPANGAJI" !!

 
Mbunge wa Mlimba Susan Kiwanga alikuwa mmoja wa wabunge waliosimama Bungeni leo April 19, 2017 ili kuchangia bajeti ya Wizara ya TAMISEMI na ile ya Ofisi ya Rais na utawala bora ambapo kati ya vitu alivyozungumzia ni hatua ya serikali kushindwa kushughulikia baadhi ya mambo yaliyo ndani ya uwezo.
Miundombinu ni mibovu, acheni ubabaishaji na msicheke inatuumiza sana, maneno mengi kwenye vitabu lakini utekelezaji hakuna’ –Susan Kiwanga
chungulia video hapa chini….

VIDEO: Majibu ya serikali kuhusu kuwafukuza wapangaji wa NHS 
Source: Ayo Tv

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search