MATUKIO PICHANI: ALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA SITA CHA MKUTANO WA SABA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA LEO TAREHE 12/04/2017 MJINI DODOMA.


unnamed
 Baadhi ya mawaziri na wabunge wakiwasili katika viwanja vya Bunge kwa ajili ya kuhudhulia kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
A
 Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe. Andrew Chenge akiongoza kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
A 1
Naibu Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Luaga Mpina akijibu hoja mbalimbali katika kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
A 2
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage akijibu hoja mbalimbali katika kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
A 3
Naibu Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani akijibu hoja mbalimbali katika kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
A 4
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Mwigulu Nchemba  akijibu hoja mbalimbali katika kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
A 5
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Suleimani Jafo akijibu hoja mbalimbali katika kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
Z
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsi Wazee na Watoto Mhe. Ummy MWalimu  akijibu hoja mbalimbali katika kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
Z 1
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe. Jenista Mhagama  akijibu hoja mbalimbali katika kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
Z 2
 Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura pamoja na Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Ufundi Mhe. Stella Manyanya  wakifuatilia  hoja mbalimbali katika kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
Z 3
Mbunge wa Mtama Mhe. Nape Moses Nnauye akimsikiliza Mbunge wa Mhe katika kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
Z 4
Mbunge wa Vitimaalum (CCM) Mhe. Mary Mwanjelwa akiuliza swali katika katika kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
Z 5
Mbunge wa Vitimaalum (CCM) Mhe. Fatma Toufiq  akiuliza swali katika katika kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
Z 6
Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA) Mhe. Joseph Mbilinyi  akiuliza swali katika kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
X
Mbunge wa Ukonga (CHADEMA) Mhe. Mwita Waitara akiuliza swali katika katika kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
X 1
 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe pamoja na Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Gerson Lwenge wakifuatilia  kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.
X 2
Baadhi ya wabunge wakifuatilia kikao cha sita cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Leo.

Source: Fullshangwe blog.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search