ROGER FEDERER AMTWANGA RAFAEL NADAL NA KUTWAA TAJI LA MICHUANO YA WAZI MIAMI




Nyota namba saba kwa ubora wa mchezo wa tenesi duniani Roger Federer usiku wa kuamkia leo ametwaa taji la michuano ya wazi ya Miami.
Roger raia wa Uswisi alimshinda mpinzani wake Muhispani Rafael Nadal kwa seti mbili.
Katika seti ya kwanza Feder alishinda kwa 6-3 na ya pili akishinda kwa 6-4.

Mchezaji huyu amepanga kupumzika kwa miez miwili baada ya usindi huo. Na anatarajia kurejea uwanjani katika michuano ya wazi ya Ufaransa.


Source: http://fullshangweblog.com

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search