ROMA MAKATOLIKI AZUA TAHARUKI: WASANII WAPIGA KAMBI COCO BEACH!

Edwin TZA na millardayo.com 

Nni April 7, 2017 ambapo wasanii mbalimbali Tanzania wamekutana Coco Beach jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili kuhusu kumtafuta Roma Mkatoliki na wenzake.

Roma Mkatoliki na wenzake walichukuliwa April 5 2017 na watu wasiojulikana wakiwa katika Studio za Tongwe Records na kupelekwa kusikojulikana.
Itazame hii video hapa ujionee jinsi wasanii walivyozungumza na waandishi wa habari kuhusu kumtafuta Roma Mkatoliki…

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search