#SAMATA NA KRC GENK WAPATA SARE YA KWANZA UGENINI MCHEZO WA PLAY OFF

Screen-Shot-2017-04-26-at-11.59.30-PM
KRC Genk imepata sare ya bao 1-1 dhidi ya Eupen katika mechi ya Ligi Kuu Ubelgiji hatua ya Play off.
Genk iko Kundi B katika hatua hiyo na Mtanzania Mbwana Samatta amecheza kwa dakika zote 90 za mechi hiyo.

Bao la Genk limefungwa na Ruslan Malinovsky katika dakika ya 20 na likadumu hadi mapumziko.
Wenyeji walisawazisha katika dakika ya 51 kupitia Luis Garcia kwa mkwaju wa penalti.
C-Xfej7XsAAfsaC

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search