SIMULIZI ZA KUSISIMUA: KIJANA ALIYEKUFA MIAKA 14 ILIYOPITA AFUFUKA NA KUSIMULIA ALIVYOFANYISHWA KAZI ZA KISUKULE BANDARINI


kijana kutokea Mbeya Hassan Mga, anadai mwaka 2003akiwa darasa la tatu alichukuliwa msukule na baada ya kuumwa vikali kichwa na kupelekwa hospitali na mwishowe 'kufa' kimsukule
Anadai uliyechukuliwa msukule huwa anaona yanavyofanyika mazishi yake lakini wao hawaomuoni na hawezi kuongea nao
Alidai walichukuliwa na kwenda kutumikishwa bandarini kupakua makontena mizigo,
chakula walichokuwa wakila ilikuwa ni nyama mbichi, pumba na unga uliokorogwa...
walikuwa hawanywi maji ila damu


Ila kuna siku alilishwa chakula ambacho hawaruhusiwi kula huko(ubwabwa anadai) ndipo akaibuka dunia hii sehemu ambayo haifahamu na watu kumkimbia na alipata wakati mgumu watukumuelewa...ilaalifanyiwa maombi kanisani ndipo akaweza kuongea na kurudia kawaida


Source: quality opportunity blog

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search