Breaking News!! Watu 22 wamaripotiwa kupoteza Maisha kaufuatia mlipuko mkubwa uliotokea Manchester Arena, Nchini Uingereza !!



Kuna Taarifa taharuki kubwa kufuatia mlipuko Mkubwa uliotokea wakati maelfu ya Waingereza wakihudhuria Tamasha ndani ya Manchester Arena. Zaidi ya watu 22 wamefariki kwenye Mlipuko huo hadi sasa na mamia wakijeruhiwa.
Rais Donald Trump alie ziarani Nchi Israel amelaani vikali mauaji hayo akiyaita ya 'kikatili'
Blog yako ya Matukio inafuatilia kwa karibu taarifa na yanayojiri na tutaendelea kuapdate uzi huu kila dakika kila secunde.. endelea kufuatana nasi.. 

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search