Dunia Kwishaa, kwisha kabisa.. #SHARE: Wanawake waandamana kudai haki ya kubaki vifua wazi kama wanaume !

Hebu Soma hii uone ulimwengu unakoelekea sasa.. Ni Hatari aisee..

Kuna dhehebu la watu wanajiita Waraelian.. pamoja na madai mengine  kundi hili linapigania haki ya ‘mwanamke kuvaa sawa na mwananume ikiwemo kuachia sehemu kubwa ya kiwiliwili chao wazi kama wanavyofanya wanaume..

Katika kuhakikisha lengo lao linatimia, kundi hili limekuwa likipigia debe siku ya Aug. 24 kila mwaka iwe ni siku maalum ya wanawake kubaki vifua wazi na wamewaomba wanaume duniani kote 'kuwasapoti' kwa kujichanganya nao bila kuvaa nguo maeneo ya juu ya kiuno hadi kifuani.

Msemaji wa kundi hilo la harakati kutoka Marekani, alivyoulizwa endapo kwa kitendo hicho hakitamtia mwanamke kwenye fedheha alijibu hapana.. "hatuwezi kuona aibu wala fedheha, tunataka kudumisha mapenzi binafsi na upendo kwa kila mmoja wetu…" alimaliza msemaji huyo aliejulikana kwa jina la Bi Rachel ambae ni mwananchama wa kundi la UFO lililoandaa maandamano ya mwaka huu…

MatukioTZA imeshindwa kukuwekea picha zote kwa sababu za kimaadili, tumeweka chache tu ingawa kwa shingo upande!! 
#share



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search