#LIVE: Fuatilia mazishi ya IVAN uone Zari alivyolianzisha akidai mali za wanawe !!


Mwanadada Zarina Hasan a.k.a The Boss lady, leo 'amepasuka hadharani' na 'kutema nyongo yote' alivyopewa nafasi kusema machache kwenye mazishi ya IVAN aliekuwa mumewe wa mwanzo. 
Hata hivyo katika hali ya patashika hilo ambalo lilikuwa wazi wazi mbele ya mashabiki lukuki na lukuki wanaofuatilia 'Mubashara hivi sasa' mazishi ya Don Ivan kama anavyofahamika na wengi,.. Mashabiki na wananchi wa Uganda wameungana na Zari aliewaambia ndugu wa Marehemu hawana chao na mali zote amechuma na mzazi mwenziwe kwa ajili ya watoto wao.

nimekuwekea maoni ya wananchi wanamuunga mkono zari.. jee wewe unalionaje ?
 #SHARE





About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search