Habari za Hivi Punde! Kuna Taarifa ya ufyatuaji Risasi Maeneo Ya Mikocheni Jijini Dar es Salaam kati ya Polisi na Ndugu Adam Malima aliekuwa Mbunge wa Mkuranga!!
| Bw. Adam Malima katika moja ya matukio wakati alipokuwa akitumikia moja ya Nyadhifa - Serikalini. |
endelea kutega masikio nasi tukiendelea kufuatilia habari hii kwa kina kupitia:
www.tanzaniampyamatukio.blogspot.com



No comments:
Post a Comment