Video! Like 'Father like Daughter' huyu ndie mwana wa 'Simba wa Nyika'... Ukiwaona Ditopite Mzuzuri..
Jina la Ditopile si geni katika anga za Siasa Nchini Tanzania, msikikilize huyu 'mwana wa kamanda wa Vita, mpambanaji mwanzo mwisho.. Mariam Ukiwaona Ditopile Ramadhn wa Mzuzuri... msikilize kwenye clip hii fupi akimpambania Waziri Tizeba aongezewe 'Fungu' BUNGENI...
“Lawama nyingi sana zimemwendea Waziri Tizeba (Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi) ukikaa nae maono aliyonayo kwa Wizara hii ni makubwa lakini hana fedha atafanya nini (bajeti ni finyu)”.
Mariam Ditopile Mbunge Viti Maalum akichangia hoja ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwa mwaka 2017/2018
No comments:
Post a Comment