Msikilize Mbunge Mbogo akitoa Mtazamo wake!

-0:58
"Mpango wa serikali kuagiza kwa wingi mbolea za kupandia na kukuzia na pia kuacha baadhi kwa watu binafsi utaleta nafuu kwa wakulima"
Richard Mbogo-Mbunge wa Nsimbo akitoa mtazamo wake juu ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2017/2018
Richard Mbogo-Mbunge wa Nsimbo akitoa mtazamo wake juu ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2017/2018
![]() |
Mbunge Richard Mbogo ! |
No comments:
Post a Comment