Gari la Wagonjwa alilyotoa Mbunge Nape Leo!


Mbunge wa Mtama kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye ametoa gari jipya la kubeba wagonjwa kwa wananchi wa jimboni kwake Mtama. Ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi alizotoa wakati wa uchaguzi.
"Niliahidi nimetekeleza, gari jipya la wagonjwa kwa Tarafa ya Nyangamara Jimboni Mtama". Aliandika Nape kupitia ukurasa wake wa Twitter.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search