TAHADHARI! Tahadhari! Tahadhari!

Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini imetoa Tahadhari juu uwepo wa hali ya upepo mkali na mawimbi makubwa  katika maeneo ya pwani ya nchi kuanzia tarehe 19-05-2017 hadi 22-05-2017.

Tanzania Mpya Matukio tumefanikiwa kupata copy ya waraka kutoka Makao Makuu ya Mamlaka tumekuwekea hapa chini, Tahadhari Tahadharisha na Wengine!!!

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search