IJUE SIKO SELI!!!


Sisi wa Mbagala, Temeke, Kongowe na wakazi wa Dar na maeneo ya Jirani nimeona hii inatuhusu.. Usikose Elimu hii ya buree kutoka kwa wadau huku ukimshuhudia 'King Majuto' Live akifanya yake...
Matukio blog itakuwepo pia... book nafasi yako ya kuonekana 'mubasharaa' kupitia blog yako: wasiliana nasi 0715722673/0786722673 au tuma picha ukiwa viwanja vya ZAKHEEM MBAGALA wakati wa Tukio tutakurusha hewani.
Email: tanzaniampyatz@gmail.com

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search