#World Press Freedom Day: Tanga waadhimisha kwa kutaka mashirikiano kati ya watendaji na Waandishi.
| Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi akifungua maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari Duniani kimkoa yaliyofanyika kwenye ukumbi wa klabu ya waandishi wa habari mkoani Tanga (Tanga Press Club) leo kulia ni Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoani Tanga,Hassan Hashim kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoani Tanga,Lulu George |
| Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoani Tanga,Hassan Hashim akizungumza katika maadhimisho hayo leo |
| Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoani Tanga,Lulu George akizungumza katika maadhimisho hayo kushoto ni Katibu Msaidizi Alex Abraham |
| Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoani Tanga,Amina Omari naye akipokea cheti hicho |
| Mwanachama wa Klabu ya waandishi wa Habari na Mwandishi wa Clous TV Mkoani Tanga Zawadi Kika naye akipokea cheti |
| Mwanachama wa Klabu ya waandishi wa Habari na mwandishi wa gazeti la Citizen Paskal Mbunga naye akipokea cheti |
| Mmiliki wa Blog ya Tanga Kumekucha na Mwanachama wa Klabu ya waandishi wa habari mkoani Tanga,Salum Mohamed naye akipokea cheti hicho |
Afisa Uhusiano wa Mamlaka ya Maji
Safi na Usafiri wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Dorah Killo
akizungumza jambo kwenye maadhimisho hayo
Safi na Usafiri wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Dorah Killo
akizungumza jambo kwenye maadhimisho hayo
| Kamanda wa Polisi Mkoani Tanga,Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Benedict Wakulyamba akizungumza jambo kwenye maadhimisho hayo |
| Afisa Uchunguzi kutoka Takukuru Mkoani Tanga,Frank Mapunda akisisitiza jambo kwenye maadhimisho hayo leo |
Sehemu ya waandishi wa habari
mkoani Tanga wakiwemo wadau wa habari wakifuatilia mada mbalimbali
zilizokuwa ziki wakilishwa kwenye maadhimisho hayo leo
mkoani Tanga wakiwemo wadau wa habari wakifuatilia mada mbalimbali
zilizokuwa ziki wakilishwa kwenye maadhimisho hayo leo
Sehemu ya waandishi wa
habari mkoani Tanga
wakiwemo wadau wa habari wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa ziki
wakilishwa kwenye maadhimisho hayo leo
habari mkoani Tanga
wakiwemo wadau wa habari wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa ziki
wakilishwa kwenye maadhimisho hayo leo
Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima
ya Afya Mkoani Tanga (NHIF),Ally Mwakababu kulia akiteta jambo na
Mwandishi wa gazeti la Mtanzania katikati Amina Omari kushoto ni Ofisa
wa Mfuko huo mkoani Tanga Sophia
ya Afya Mkoani Tanga (NHIF),Ally Mwakababu kulia akiteta jambo na
Mwandishi wa gazeti la Mtanzania katikati Amina Omari kushoto ni Ofisa
wa Mfuko huo mkoani Tanga Sophia
Mratibu wa Klabu ya Waandishi wa
Habari Mkoani Tanga (Tanga Press Klabu)Neema Omary kulia na Mjumbe wa
Kamati ya Utendaji ya Klabu hiyo,Amina Omari wakifuatilia matukio
mbalimbai
Habari Mkoani Tanga (Tanga Press Klabu)Neema Omary kulia na Mjumbe wa
Kamati ya Utendaji ya Klabu hiyo,Amina Omari wakifuatilia matukio
mbalimbai
Mhandisi Zena Said ameziagiza taasisi za Serikali na
mashirika ya umma kutoa ushirikiano kwa waandishi wa habari pindi wanapohitaji
taarifa kutoka kwenye taasisi hizo kwa ajili ya
kuhabarisha umma.
Ameyazungumza hayo jana wakati wa kuadhimisha siku ya uhuru
wa vyombo vya habari Duniani ambapo Mkoa Tanga maadhimisho hayo yalifanyika
katika ukumbi wa klabu ya waandishi wa habari na kuhudhuriwa na wadau
mbalimbali kutoka taasisi za serikali na zisizo za kiserikali.
Hatua hiyo imekuja mara baada ya waandishi wa habari kutoa malalamiko
yao mbele ya Katibu Tawala huyo wa Mkoa ambae alikua mgeni rasmi katika maadhimisho
hayo ya kuwa zipo baadhi ya taasisi za Serikali kushindwa kutoa ushirikiano kwa
waandishi wa habari pindi wanapohitaji kutekeleza majuku yao ya kazi - -- fullshangweblog.




No comments:
Post a Comment