Live!! EAC Head of States Summit!!

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amepewa Heshima kubwa ya kuandaa Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi wa Africa Mashariki (The 18th Ordinary Summit of EAC) Jijini Dar es Salaam. 
Mkutano huu unarushwa Mubashara (Live) na Chanel yetu ya TBC Television (muda huu).




endelea kufuatilia blog yako ya Matukio kupata yanayojiri. 

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search