10 News!!: Diamond Platnumz 'apeleka jibu' BASATA 'afunga kazi Airport' akimpokea Ray Vanny.. #share.. Tanzania yachukizwa na Kenya kuzuia Gesi ya Kupikia.. RITA nayo 'Yaliamsha' yataka Maalim Seif athibitishe..
Mwanamuziki wa Tanzania alieng'ara kwenye tuzo za BET Awards zilizofanyika Nchini Marekani hivi karibuni, amewasili Jijini dar es Salaam jana na akipokelewa na Diamond alieongozana na Maelfu ya Mashabiki wake.
Mapokezi ya Diamond yalionekana kama jibu kwa BASATA ambayo awali iliweka bayana kuwa haina mipango yoyote ya mapokezi rasmi kwa Ray, ambae licha ya mafanikio yake kwenye kipengele 'Mwananamuziki Bora Chipukizi wa 2017 katika Anga za Kimataifa, hakuwa ameitaarifu BASATA wakati wa safari yake hiyo ya matumaini, wala safari yake ya kurudi baada ya kupokea Tuzo yake hiyo ya kwanza kabisa kuchukuliwa na mwanamuziki wa Tanzania, na ya pili Africa Mashariki baada ya ile ya Eddy Kenzo wa Kenya Mwaka 2015.
Diamond alieongozana na Harmonize, na kundi zima la Wasafi na maelfu ya washabiki waliwasili uwanjani hapo na kufanya shughuli kusimama kwa furaha na bashasha huku kila aina cheers zikisikika..
Mapokezi ya Diamond yalionekana kama jibu kwa BASATA ambayo awali iliweka bayana kuwa haina mipango yoyote ya mapokezi rasmi kwa Ray, ambae licha ya mafanikio yake kwenye kipengele 'Mwananamuziki Bora Chipukizi wa 2017 katika Anga za Kimataifa, hakuwa ameitaarifu BASATA wakati wa safari yake hiyo ya matumaini, wala safari yake ya kurudi baada ya kupokea Tuzo yake hiyo ya kwanza kabisa kuchukuliwa na mwanamuziki wa Tanzania, na ya pili Africa Mashariki baada ya ile ya Eddy Kenzo wa Kenya Mwaka 2015.
Diamond alieongozana na Harmonize, na kundi zima la Wasafi na maelfu ya washabiki waliwasili uwanjani hapo na kufanya shughuli kusimama kwa furaha na bashasha huku kila aina cheers zikisikika..
Business brought to a standstill as Diamond storms airport with hundreds of fans to welcome @Rayvanny back homehttps://t.co/FqxDB3krIU pic.twitter.com/htrbvEArFH— Ghafla Tanzania (@GhaflaTanzania) June 29, 2017
#Tanzania yachukizwa na #Kenya kuzuia gesi ya kupikia kuingizwa nchini humo pamoja na kutoza ushuru unga wa sembe kinyume na makubaliano. pic.twitter.com/KjouWGotn3— Swahili Times (@swahilitimes) June 29, 2017
Waziri mkuu wa Uingereza Theresa May amesema kunahitajika kipindi maalum cha utekelezaji ili kufanikisha mchakato wa kujitoa Umoja wa Ulaya pic.twitter.com/ellfA8jnqi— Radio One Stereo (@RadioOneStereo) June 29, 2017
#Bongo5Updates Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Katibu Mkuu, Celestine Mwesigwa kuburuzwa Mahakamani leo kujibu tuhuma zinazowakabili. pic.twitter.com/OagW7grdzT— bongo5.com (@bongofive) June 29, 2017
We must first get a governor who is incorruptible. Governor Kidero has a litany of allegations against him - Miguna Miguna. #ElectionsKE pic.twitter.com/a0y0YvYUYZ— NTV Kenya (@ntvkenya) June 29, 2017
RITA yamtaka Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif kuthibitisha tuhuma alizotoa kuwa walighushi nyaraka za kusajili bodi ya wadhamini- THE CITIZEN pic.twitter.com/GUHM15YrqY— Swahili Times (@swahilitimes) June 29, 2017
Kesi ya kupinga adhabu za wabunge wa CHADEMA, Bulaya na Mdee kutohudhuria vikao vya bunge kusikilizwa leo dodoma baada ya kuahirishwa jana. pic.twitter.com/X1saOszOPb— Swahili Times (@swahilitimes) June 29, 2017
BUNGENI, DODOMA: Naibu Spika amesema kuwa Ofisi ya Spika imetenga chumba maalum cha kunyonyeshea kwa ajili ya Wabunge wenye watoto#JFLeo pic.twitter.com/rLKm1GccvP— Jamii Forums (@JamiiForums) June 28, 2017
Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Katibu Mkuu Mwesigwa kupandishwa kizimbani leo asubuhi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam. pic.twitter.com/yyAw7D3HY9— Swahili Times (@swahilitimes) June 29, 2017
🙌 Exactly 2️⃣ years on from the day we signed him, sit back and enjoy @PetrCech at his very best... pic.twitter.com/ABp43xB9Pu— Arsenal FC (@Arsenal) June 29, 2017
Mtoto 1 tu kati ya 20 ndio anasoma shule ya msingi ya binafsi na 1 kati ya 5 anasoma shule ya sekondari ya binafsi #ArudiShule pic.twitter.com/YoqGqDX8dJ— Jamii Forums (@JamiiForums) June 29, 2017
No comments:
Post a Comment