Magazetini leo 09/06/2017: Soma kuu zifuatazo.. Bajeti ya mlalahoi haijapata kutokea.. Serikali yafuta 'Road License'.. Yalenga kuamsha uchumi Vijijini.. #SHARE

Mpango 'Kifaa..' Makofi kila kona.. ni Bajeti ya kujenga uchumi, ..afuta nyao za waliomtangulia.., Wapinzani wampa 'TANO', Usafiri wa treni kwenda Mkoa waanza tena baada ya kusimama Kwa mda.. Pia usikose... 
'teka-teka ya Kibiti yahamia Ikwiriri..' Mwenyekiti wa Kijiji adaiwa 'kutekwa', na katika michezo.. Yanga yatia Kibindoni million 16.8 za SportPesa !

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search