NEWS!! Huyu hapa ndiye Naibu Gavana 'Mpya' wa BOT: #SHARE.. ni..

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, amemteua DKT. Yamungu. Kayandabila.. kuwa Naibu Gavana wa BOT anaeshughulikia Uchumi na Fedha, na Dkt. Yohana Kibese kuwa Naibu Gavana atakaeshughulikia usimamizi wa Sekta ya Fedha.. 

Matukio Blog tumekuwekea Tamko kuhusu Teuzi hizo zinazoanza mara moja.
Tunawatakia Wateule hawa Wapya Heri na Fanaka katika kufanikisha majukumu yao Mapya.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search