TAMWA yashusha agenda kwa wahariri na wamiliki wa vyombo vya habari ! #share




Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Bi. Edda Sanga akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya mkutano na wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari, kuzungumzia utekelezaji wa mradi wa Programu ya Haki na Utawala Bora, inayopinga vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto baadhi ya maeneo nchini Tanzania.




Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Bi. Edda Sanga (kushoto) akiwasilisha mada kwa wahariri juu ya mafanikio ya utekelezaji wa mradi wa Programu ya Haki na Utawala Bora, inayopinga vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto unaoendeshwa na Tamwa kwa ushirikiano na wanahabari.



Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Bi. Edda Sanga akiwasilisha mada kwa wahariri (hawapo pichani) juu ya mafanikio ya utekelezaji wa mradi wa Programu ya Haki na Utawala Bora, inayopinga vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto unaoendeshwa na Tamwa kwa ushirikiano na wanahabari.



Ofisa Miradi wa TAMWA, Godfrida Jola akizungumza na wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari, kabla ya kumkaribisha Bi. Edda Sanga kuzungumzia utekelezaji wa mradi wa Programu ya Haki na Utawala Bora, inayopinga vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto baadhi ya maeneo nchini Tanzania.



Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Bi. Edda Sanga akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya mkutano na wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari, kuzungumzia utekelezaji wa mradi wa Programu ya Haki na Utawala Bora, inayopinga vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto baadhi ya maeneo nchini Tanzania.



Ofisa Miradi wa TAMWA, Godfrida Jola akizungumza na wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari, kabla ya kumkaribisha Bi. Edda Sanga (kulia) kuzungumzia utekelezaji wa mradi wa Programu ya Haki na Utawala Bora, inayopinga vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto baadhi ya maeneo nchini Tanzania.



Baadhi ya wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiwa katika mkutano huo na Tamwa.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search