Big news !! Madam Wema atua Kisutu na mama'ke pembeni.. Rais Mstaafu Mkapa akabidhi nyumba za Mkapa Foundation.. #share.. Salamu za mwisho za Lukaku kwa mashabiki wake wa Everton..
Msanii wa Filamu za bongo Wema Sepetu asubuhi ya leo aliwasili mbele ya Mahakama ya Kisutu Jijini Dar es Salaam, pembeni yake akiwa ni mama yake mzazi.. 'mama wema...'
Hata hivyo shauri lake limepigwa kalenda na amepangiwa kufika tena Mahakamani hapo siku ya tarehe 1/August.
Madam Wema alifika Mahakamani hapo kusikiliza kusikiliza kesi ya kukutwa na dawa za kulevya, kesi ambayo pia inawakabili mastaa wengine wa bongo movie na watu maarufu..
===================
Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa ametembelea na kuzindua nyumba ya wahudumu wa afya katika kijiji cha Mkungo wilayani Chato mkoani Geita zilizojengwa na taasisi ya Mkapa Foundation kwa kushirikiana na Serikali.
Akizindua nyumba hizo jana, Rais Mkapa aliwasalimia wanachi kwa salam yake ya “mambo” na wananchi kuitika poa” na kuwataka kutunza nyumba hizo na kushirikiana vema na watumishi watakaoshi katika nyumba hizo kisha msafara wake kuondoka na kuelekea Ikulu ndogo iliyopo Chato.
Mkapa aliingia katika eneo la zahanati hiyo saa sita mchana akiongozana na mkewe, Mama Anna Mkapa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu. Uzinduzi wa nyumba hiyo ni ishara ya kuzindua nyumba nyingine 50 zilizopo katika mikoa ya Geita, Simuyu na Kagera.
Makabidhiano ya nyumba hizo yanatarajiwa kufanyika leo(Jumatatu July 10) katika uwanja wa mpira wa miguu uliopo Chato mjini hafla itakayohudhuriwa na Rais John Magufuli.
Ofisa Mahusiano na Mawasiliano wa Mkapa Foundation, Deogratius Rimoy alisema nyumba 50 zilizojengwa na taasisi hiyo katika mikoa mitatu tofauti zimegharimu kiasi cha Sh 2.5 bilion Alisema lengo la kujenga nyumba hizo ni ili kuboresha huduma za afya vijijini illi watumishi waweze kutoa huduma za afya kwa saa 24.
=================================
Hata hivyo shauri lake limepigwa kalenda na amepangiwa kufika tena Mahakamani hapo siku ya tarehe 1/August.
Madam Wema alifika Mahakamani hapo kusikiliza kusikiliza kesi ya kukutwa na dawa za kulevya, kesi ambayo pia inawakabili mastaa wengine wa bongo movie na watu maarufu..
===================
Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa ametembelea na kuzindua nyumba ya wahudumu wa afya katika kijiji cha Mkungo wilayani Chato mkoani Geita zilizojengwa na taasisi ya Mkapa Foundation kwa kushirikiana na Serikali.
Akizindua nyumba hizo jana, Rais Mkapa aliwasalimia wanachi kwa salam yake ya “mambo” na wananchi kuitika poa” na kuwataka kutunza nyumba hizo na kushirikiana vema na watumishi watakaoshi katika nyumba hizo kisha msafara wake kuondoka na kuelekea Ikulu ndogo iliyopo Chato.
Mkapa aliingia katika eneo la zahanati hiyo saa sita mchana akiongozana na mkewe, Mama Anna Mkapa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu. Uzinduzi wa nyumba hiyo ni ishara ya kuzindua nyumba nyingine 50 zilizopo katika mikoa ya Geita, Simuyu na Kagera.
Makabidhiano ya nyumba hizo yanatarajiwa kufanyika leo(Jumatatu July 10) katika uwanja wa mpira wa miguu uliopo Chato mjini hafla itakayohudhuriwa na Rais John Magufuli.
Ofisa Mahusiano na Mawasiliano wa Mkapa Foundation, Deogratius Rimoy alisema nyumba 50 zilizojengwa na taasisi hiyo katika mikoa mitatu tofauti zimegharimu kiasi cha Sh 2.5 bilion Alisema lengo la kujenga nyumba hizo ni ili kuboresha huduma za afya vijijini illi watumishi waweze kutoa huduma za afya kwa saa 24.
=================================
Wema Sepetu na mama yake walivyowasili Mahakama ya Kisutu kusikiliza kesi ya kukutwa na dawa za kulevya kabla ya kuahirishwa hadi August 1. pic.twitter.com/yEtOc69LHX— millard ayo (@millardayo) July 10, 2017
LIVE: RAIS MAGUFULI APOKEA NYUMBA 50 ZA MKAPA FOUNDATION - CHATO https://t.co/ZyIQlUNLWE— DJChoka UpDATES (@DJChokaUpDates) July 10, 2017
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu 10.07.2017 na Salim Kikeke https://t.co/4xaG4QIg20— bbcswahili (@bbcswahili) July 10, 2017
Simba SC itaingia mazoezini leo - Joseph Omog - https://t.co/8zi52gfU4a pic.twitter.com/oH9fb9aAa3— bongo5.com (@bongofive) July 10, 2017
Chief Justice David Maraga responds to Jubilee's statements on the judiciary https://t.co/ogwx8rwXDr— NTV Kenya (@ntvkenya) July 10, 2017
#Habari:Waziri Mkuu, Mheshimiwa KASIM MAJALIWA leo ameanza ziara ya wiki moja katika Wilaya nne kati ya tano za Mkoa wa Lindi. pic.twitter.com/ZLrrXIPrfj— Radio One Stereo (@RadioOneStereo) July 10, 2017
@williamngeleja umetuchanganya umerudisha fedha? Au fedha umewapa TRA? maana mwenye Fedha ni Rugemalila ila wewe umezipeleka TRA ikoje hii? pic.twitter.com/Iz6h8bwmCR— TanzaniaYangu (@mpologomy) July 10, 2017
What type of exercise is best for the brain? https://t.co/PCdKyJ7NTf— TIME (@TIME) July 10, 2017
MAONI YA MHARIRI:: Ngwe ya Cosafa imeisha, tuangalie Chan https://t.co/K7tMLfeqtC pic.twitter.com/80inqpSfxN— Mwananchi Newspapers (@MwananchiNews) July 10, 2017
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imeahirisha kesi inayomkabili muigizaji @wema_sepetu hadi Agosti 1 mwaka huu. pic.twitter.com/5J2Di2YM1Z— Swahili Times (@swahilitimes) July 10, 2017
Mkapa: Nimekuja kukabidhi hizi nyumba 10 kwa sababu naamini Maendeleo bora ya nchi yetu yanategemea sana ustawi bora wa Sekta ya Afya#JFLeo— Jamii Forums (@JamiiForums) July 10, 2017
Picha: Harmonize ajivinjari na mzungu wake, azima komenti Insta kukwepa kero - https://t.co/vPfz2N7ZZ3 pic.twitter.com/ELScqSHe1w— bongo5.com (@bongofive) July 10, 2017
Album ya Dj Khaled ‘Grateful’ yaendelea kushika namba moja chart ya Billboard kwa wiki mbili mfululizo https://t.co/8ZV8ORUAab— Hamisi Mandi (@BDozen) July 10, 2017







No comments:
Post a Comment