Breaking News: Mwakyembe afanya 'mazito' BMT.. #share amtumbua Dioniz Malinzi na 'Convoy' zima..
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT) , Dionis Malinzi, ambaye ni ndugu na Rais wa Shirikisho la Soka Jamali Malinzi ametumbuliwa leo na Waziri wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt Mwakyembe kufuatia agizo la Waziri Mkuu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alimtaka Waziri Mwakyembe kupitia baraza hilo na kulitathimini hivyo baada ya kulipitia na kutathimini amesitisha uteuzi wa Mwenyekiti wa baraza hilo.

"Kwa mamlaka niliyopewa na sheria ya BMT Na. 12 ya 1967, nimesitisha uteuzi wa Mwenyekiti na wajumbe wote wa BMT"- Dkt.Harrison Mwakyembe
Kwa mujibu wa Waziri Mwakyembe amesema kuwa Sekretarieti ya Baraza la Michezo Tanzania litaendelea na kazi kwa kushirikiana na serikali wakati mchakato wa kuteua mwenyekiti mpya wa baraza hilo ukiendelea..
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alimtaka Waziri Mwakyembe kupitia baraza hilo na kulitathimini hivyo baada ya kulipitia na kutathimini amesitisha uteuzi wa Mwenyekiti wa baraza hilo.
"Kwa mamlaka niliyopewa na sheria ya BMT Na. 12 ya 1967, nimesitisha uteuzi wa Mwenyekiti na wajumbe wote wa BMT"- Dkt.Harrison Mwakyembe
Kwa mujibu wa Waziri Mwakyembe amesema kuwa Sekretarieti ya Baraza la Michezo Tanzania litaendelea na kazi kwa kushirikiana na serikali wakati mchakato wa kuteua mwenyekiti mpya wa baraza hilo ukiendelea..
#MICHEZO Waziri Mwakyembe amtumbua rasmi Malinzi :-- Soma zaidi hapa https://t.co/t0Q31mgJau pic.twitter.com/jTEkqH5uQl— East Africa Radio (@earadiofm) July 10, 2017
Transport payment in focus as mobile app designers meet in Dar. Read more: https://t.co/bFYql5ZRDG via @TheCitizenTZ— The Citizen Tanzania (@TheCitizenTZ) July 10, 2017
Matukio Pichani: Naibu Waziri Eng. Edwin Ngonyani asema Serikali imepanga Kuimarisha Uwanja wa Ndege wa Mpanda https://t.co/44ASoYzOSx— #matukio360 (@Matukio360) July 10, 2017
Soma Taarifa ya Mbunge @williamngeleja ya kurudisha kiasi cha Fedha Milioni 40.4 alizopewa na Mfanyabiashara, Rugemalira. #TegetaEscrow pic.twitter.com/pnd4IcXiZU— Haki Ngowi (@Hakingowi) July 10, 2017
Romelu Lukaku posted a farewell message to @Everton fans ahead of his expected move to @ManUtd. More here: https://t.co/UB5omcrek0 #SSNHQ pic.twitter.com/2RqwYkubc4— Sky Sports News HQ (@SkySportsNewsHQ) July 10, 2017
What Did Kanye West Do That Has Jay Z Over Their Friendship ? Read the article to find out https://t.co/Jxbbco7r2N via @capitalcampus pic.twitter.com/UW1dQkCA9T— Capital FM Kenya (@CapitalFMKenya) July 10, 2017



No comments:
Post a Comment