Breaking News! Abbasi avunja ukimya.. #share. apangua 'Propaganda' za Tundu Lissu moja baada ya nyengine..
Msemaji Mkuu Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Bw. Hassan Abbasi leo amevunja ukimya na kupangua hoja za mnadhimu mkuu wa kambi ya Upinzani na Mwanansheria Msomi, Mhe. Tundu Lissu (MB).
Mapema kupitia Ukurasa wake rasmi wa Twitter, Bw. Abbasi amenukuliwa wakisema "Leo tumezijibu kwa kina propaganda na upotoshaji wa Mbunge wa Singida Mashariki Ndug Tundu Lissu..."
Matukio360 tumekuwekea kurasa mbili za andiko la Bw. Hassan linaloonekana kujibu moja kwa moja video na ujumbe wa sauti iliyotrend sana mitandao ya Kijamii..
Mapema kupitia Ukurasa wake rasmi wa Twitter, Bw. Abbasi amenukuliwa wakisema "Leo tumezijibu kwa kina propaganda na upotoshaji wa Mbunge wa Singida Mashariki Ndug Tundu Lissu..."
Matukio360 tumekuwekea kurasa mbili za andiko la Bw. Hassan linaloonekana kujibu moja kwa moja video na ujumbe wa sauti iliyotrend sana mitandao ya Kijamii..
Leo tumezijibu kwa kina propaganda na upotoshaji wa Mbunge wa Singida Mashariki Ndug Tundu Lissu. pic.twitter.com/JMKD5uqSWF— Msemaji wa Serikali (@TZ_MsemajiMkuu) July 18, 2017
No comments:
Post a Comment