bREAKING nEWS: Majadiliano yakinukia; ACACIA 'yaliamsha Upya' .. 'Mfanyakazi wetu kakamatwa Airport leo asubuhi..' #share

Kampuni ya ACACIA Mining imeibua tuhuma nzito za kuchezewa rafu, ikiwa ni kati kati ya maandalizi ya majadiliano na Serikali kuhusu tuhuma za udanganyifu na ukwepeshaji mapato wa kampuni kwa na kuinyima serikali stahiki zake..



Katika Waraka mzito ulisambaa kupitia 'social media' mchana huu, Kampuni hiyo imeituhumu serikali kupitia vyombo vyake kuwa imemzuilia kwa muda na kumnyang'anya hati passport mfanyakazi wa ACACIA aliekuwa akisafiri kupitia uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam.

" Uongozi wa Kampuni yetu unawasiliana kisheria kufahamu hatua stahiki juu ya hatua hiyo.." imemaliza taarifa hiyo..

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search