bREAKING nEWS: Makonda awavaa wadau wa 'CAMERA'.. ataka majibu ndani ya siku 10..' bila hivyo ni noumaaa! sana !!!
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amefanya mkutano leo na wadau mbalimbali jijini Dar kwa ajili ya ufungaji wa mfumo wa ufuatialiji wa makosa mbalimbali yanayotokea hapa Dar ikiwemo ukiukwaji wa sheria za usalama barabarani zinazofanywa na baadhi ya madereva wa magari.
Ametoa siku kumi kwa tume atakayoiunda ije na majibu ya suluhisho la namna mfumo huo utakavyoweza kufanya kazi, ameeza kwamba, “wako wataam walishakwenda mpaka China na serikali kugharimia safari na mafunzo tangu serikali ya awamu ya nne na akaagiza CAMERA zifungwe lakini mpaka leo hakuna lolote”
Alisema,”Sasa mimi siendi nchi yoyote nipo hapahapa Dar es Salaam na nitahakikisha CAMERA zitafungwa”.
Mfumo huo ni Tanzania Tracking Technology of Security Monitoring System. Mfumo huu waweza kusaidia kutambua aina ya gari, jina la driver na hata kuweza kuzima/switch off gari iliyoibiwa - e-pepa
Ametoa siku kumi kwa tume atakayoiunda ije na majibu ya suluhisho la namna mfumo huo utakavyoweza kufanya kazi, ameeza kwamba, “wako wataam walishakwenda mpaka China na serikali kugharimia safari na mafunzo tangu serikali ya awamu ya nne na akaagiza CAMERA zifungwe lakini mpaka leo hakuna lolote”
Alisema,”Sasa mimi siendi nchi yoyote nipo hapahapa Dar es Salaam na nitahakikisha CAMERA zitafungwa”.
Mfumo huo ni Tanzania Tracking Technology of Security Monitoring System. Mfumo huu waweza kusaidia kutambua aina ya gari, jina la driver na hata kuweza kuzima/switch off gari iliyoibiwa - e-pepa
No comments:
Post a Comment