Morning Talk: Mhe. Sugu kuibua Ajira Mpya' 5,000.. Mzee Lowasa amewasili Polisi hivi punde.. Kauli ya Mzee Mkapa 'yaliamsha Dude' haki za Binadam waja juu.. Jinamizi laikumba NSSF; Vigogo wake 11 watemwa... #share.. Kumbe Kidole cha Mguu kinaweza kuwa cha Mkono pia.. soma zaidi..
Msanii mkongwe wa muziki wa hip hop Bongo na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ ameweka wazi malengo yake kwa miaka 10 ijayo.
Sugu ambaye ni Mkurugenzi wa Hotel Desderia Co Ltd amebainisha hayo kupitia mtandao wa Instagram ambapo katika kipindi hicho amelenga kutoa ajira zisizopungua 5,000.
=============== end ========
Dar es Salaam. Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) imewaachisha kazi wafanyakazi 12 waliokuwa wamesimamishwa kwa mwaka mmoja sasa.
Wafanyakazi hao walisimamishwa kazi Julai 2016 kupisha uchunguzi kuhusu tuhuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi.
Taarifa ya NSSF iliyotolewa leo Alhamisi (Julai 13) kupitia vyombo vya habari walioachishwa kazi ni Yacob Kidula, aliyekuwa mkurugenzi wa mipango, uwekezaji na miradi.
Wengine na nafasi walizokuwa wakishikilia kwenye mabano ni Ludocick Mrosso (mkurugenzi wa fedha), Chiku Matessa (mkurugenzi wa rasilimali watu na utawala), Sadi Shemliwa (mkurugenzi wa udhibiti, hadhara na majanga), Pauline Mtunda (mkurugenzi wa ukaguzi wa hesabu za ndani).
Crescentius Magori (mkurugenzi wa uendeshaji), Amina Abdallah (meneja utawala), Abdallah Mselli (meneja wa uwekezaji), Mhandisi John Ndazi (meneja miradi), Wakili Chedrick Komba (meneja kiongozi Mkoa wa Temeke) na Ramadhani Nassibu (meneja mkuu usalama)
- Mwananchi Online
============= end ===
Mfanyakazi mmoja wa shamba la ng'ombe ambaye kidole chake cha gumba kiling'olewa ana fahali, amefanyiwa upasuaji ambapo kidole chake ya mguu kilikatwa na kuhamishwa kwa kile cha mkono.
Sugu ambaye ni Mkurugenzi wa Hotel Desderia Co Ltd amebainisha hayo kupitia mtandao wa Instagram ambapo katika kipindi hicho amelenga kutoa ajira zisizopungua 5,000.
March mwaka jana Sugu aliweka wazi kuanza kwa ujenzi wa Hoteli yake yenye hadhi ya nyota tatu chini ya kampuni ya ukandarasi ya Home Africa Investment Co Ltd ya China - Bongo5
=============== end ========
Dar es Salaam. Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) imewaachisha kazi wafanyakazi 12 waliokuwa wamesimamishwa kwa mwaka mmoja sasa.
Wafanyakazi hao walisimamishwa kazi Julai 2016 kupisha uchunguzi kuhusu tuhuma za ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi.
Taarifa ya NSSF iliyotolewa leo Alhamisi (Julai 13) kupitia vyombo vya habari walioachishwa kazi ni Yacob Kidula, aliyekuwa mkurugenzi wa mipango, uwekezaji na miradi.
Wengine na nafasi walizokuwa wakishikilia kwenye mabano ni Ludocick Mrosso (mkurugenzi wa fedha), Chiku Matessa (mkurugenzi wa rasilimali watu na utawala), Sadi Shemliwa (mkurugenzi wa udhibiti, hadhara na majanga), Pauline Mtunda (mkurugenzi wa ukaguzi wa hesabu za ndani).
Crescentius Magori (mkurugenzi wa uendeshaji), Amina Abdallah (meneja utawala), Abdallah Mselli (meneja wa uwekezaji), Mhandisi John Ndazi (meneja miradi), Wakili Chedrick Komba (meneja kiongozi Mkoa wa Temeke) na Ramadhani Nassibu (meneja mkuu usalama)
- Mwananchi Online
============= end ===
Mfanyakazi mmoja wa shamba la ng'ombe ambaye kidole chake cha gumba kiling'olewa ana fahali, amefanyiwa upasuaji ambapo kidole chake ya mguu kilikatwa na kuhamishwa kwa kile cha mkono.
Zac Mitchell, 20, alijeruhiwa wakati akifanya kazi katika shamba moja lililo kijijini magharibi mwa Australia.
Alifanyiwa upasuaji mara mbili wa kurudisha kidole chake bila ya mafanikio kabla ya madaktari kuamua kuhamisha kidole chake cha mguu katika upasuaji uliodumu saa nane.
Bwana Mitchell alisema wafanyikazi wenake walijaribu kuhifadhi kidole mara baada ya ajali hiyo. Mitchel alisafirishwa kwa ndege hadi hospitali katika jimbo la Perth, lakini jitihada za kukiokoa kidole chake zikashindikana.Licha ya kukataa Mitchel baadaye alikubali kidole chake cha mguu kuhamishwa hadi kwa mkono wake.
Daktari wa upasuaji Sean Nicklin anasema hakushangazwa na muda aliochukua Mitchel kukukubali.
"Hata kama una vidole vinne vilivyo vyema, na huna kidole cha kifinyilia mkono wako utakuwa umepoteza sehemu kubwa ya kazi yake.
Bwana Mitchel atahitaji zaidi ya miezi 12 ya ushauri lakini na mpango wa kurudi shambani - BBC swahili
==============================
Alifanyiwa upasuaji mara mbili wa kurudisha kidole chake bila ya mafanikio kabla ya madaktari kuamua kuhamisha kidole chake cha mguu katika upasuaji uliodumu saa nane.
Bwana Mitchell alisema wafanyikazi wenake walijaribu kuhifadhi kidole mara baada ya ajali hiyo. Mitchel alisafirishwa kwa ndege hadi hospitali katika jimbo la Perth, lakini jitihada za kukiokoa kidole chake zikashindikana.Licha ya kukataa Mitchel baadaye alikubali kidole chake cha mguu kuhamishwa hadi kwa mkono wake.
Daktari wa upasuaji Sean Nicklin anasema hakushangazwa na muda aliochukua Mitchel kukukubali.
"Hata kama una vidole vinne vilivyo vyema, na huna kidole cha kifinyilia mkono wako utakuwa umepoteza sehemu kubwa ya kazi yake.
Bwana Mitchel atahitaji zaidi ya miezi 12 ya ushauri lakini na mpango wa kurudi shambani - BBC swahili
==============================
![]() |
Mradi Mkubwa wa Umeme unaozalisha umeme mkubwa zaidi nchini China.. |
Meet Nairobi's youngest senatorial candidate Suzanne Silantoi https://t.co/gHnVDay9oD pic.twitter.com/rd6ubTaOBD— NTV Kenya (@ntvkenya) July 13, 2017
Ndasaba eager to give back to volleyball - Daily Nation https://t.co/rDJMBresF4 pic.twitter.com/CrrQnuHOo5— DailyNationSports (@Nation_Sport) July 13, 2017
HSBC won't have to release money-laundering report: suit https://t.co/KaWcogTGcN pic.twitter.com/AC5t9eZozZ— EagleStar.NET (@EagleStarNET) July 13, 2017
Having not lived that time (50 years ago) we have a feeling of interacting with patients when things are desperate - Ahmed. #NTVBetterLiving pic.twitter.com/dLweGVn7Ju— NTV Kenya (@ntvkenya) July 13, 2017
Wimbledon 2017: Johanna Konta faces Venus Williams in semi-final https://t.co/9ZX04UEtGM— BBC News (UK) (@BBCNews) July 13, 2017
Aveva, Kaburu warudishwa mahakamani— Mwanaspoti (@MwanaspotiTZ) July 13, 2017
Wakati akili, masikio na macho ya mashabiki wa soka nchini leo Alhamisi... https://t.co/IeTELlzOas
The Fed: This Is What It Sounds Like When Hawks Cry https://t.co/STbqsGEobu— EagleStar.NET (@EagleStarNET) July 13, 2017
Ukosefu wa bangi wasababisha dharura kutangwazwa Nevada, Marekani https://t.co/6bGOpZLr4j— bbcswahili (@bbcswahili) July 13, 2017
Mkapa aamsha mjadala kwa kauli ya wapumbavu https://t.co/DG0OspIPWe via @MwananchiNews #MwananchiLeo— Mwananchi Newspapers (@MwananchiNews) July 13, 2017
Katunika pic.twitter.com/j2ZgRTavIn— Masoud Kipanya (@masoudkipanya) July 13, 2017
Wakurugenzi 6, mameneja 6 NSSF waachishwa kazi https://t.co/ZoRyc2L372 via @MwananchiNews #MwananchiLeo— Mwananchi Newspapers (@MwananchiNews) July 13, 2017
Mkurugenzi wa Mashitaka Zanzibar Ibrahim anaelezea mkakati wa kusikilizwa kesi za udhalilishaji Zanzibar mbele ya... https://t.co/N2AZm2IKW7— Salma Said (@ZanzibariYetu) July 13, 2017
Malengo ya Sugu ni kuajiri watu 5,000 - https://t.co/qEsxFHgstE pic.twitter.com/YS6CLyV0fW— bongo5.com (@bongofive) July 13, 2017
EXCLUSIVE: Startimes watarusha moja kwa moja Michuano ya Kirafiki ya Mabingwa inayotambuliwa na FIFA... #share.. https://t.co/r7lrgaK2V2— #matukio360 (@Matukio360) July 13, 2017
Magazetini Leo 13/07/2017: Mbowe afunguka "ningekimbia Upinzani...!"; Mchele wa Plastic watua kwa DCI, Ajira 10,000…https://t.co/HsB3PnKP1P— #matukio360 (@Matukio360) July 13, 2017
Mwanamume ambaye kidole cha mguu kilihamishwa kwa mkono https://t.co/IobFzlUgHU— bbcswahili (@bbcswahili) July 13, 2017
— Arsenal FC (@Arsenal) July 13, 2017
Anderson Cooper to White House official: 'I'm just going to ignore the insults' https://t.co/JfoL8xM3OF pic.twitter.com/xmplv7jsP6— CNN (@CNN) July 13, 2017
Pandahil Secondary School putting finishing touches on their project for #YST2017. pic.twitter.com/qS89Sgxpaw— YS Tanzania (@ystanzania) July 13, 2017
Tourists get a close-up view of a mother whale and her two calves in San Ignacio Lagoon in Baja California, Mexico. pic.twitter.com/9RQAgcxx1s— People's Daily,China (@PDChina) July 13, 2017
#HABARI Mheshimiwa Lowassa tayari amewasili Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kwa mahojiano na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai. pic.twitter.com/wX2QsSvFJF— East Africa TV (@eastafricatv) July 13, 2017
Ozil pleads with Sanchez to stay https://t.co/J52KigyWRC pic.twitter.com/Kck8DNGtdx— Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) July 13, 2017
Banda kuvuna mamilioni Sauzi kiulaini— Mwanaspoti (@MwanaspotiTZ) July 13, 2017
Beki Abdi Banda aliyeamua kuachana na Simba anatarajia kuondoka nchini leo... https://t.co/tI3hiYIbZ7
Rights commission condemns Mkapa over ‘name calling’ https://t.co/lcl787qhCK via @TheCitizenTZ— The Citizen Tanzania (@TheCitizenTZ) July 13, 2017
— The Citizen Tanzania (@TheCitizenTZ) July 13, 2017
No comments:
Post a Comment