Top News: Simbachawene 'aipa mkono wa kwaheri' Bodi ya Shirika la Masoko Kariakoo..

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bw. George Simbachawene ameivunja Bodi ya Shirika la Masoko Kariakoo kuanzia leo 21/07/2017.
Taarifa iliyopatikana Mchana huu kutoka kwa Msemaji wa serikali, Uamuzi huo umefuatia kubainika mapungufu kadhaa ikiwemo kushindwa kumshauri Waziri husika namna bora ya Uendeshaji wa Shirika hilo..


Matukio360 tumenasa waraka maalum unaoratibu maamuzi hayo na tumekusogezea upate kuhabarika zaidi..

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search