UTEUZI: Bibi Mary Gasper Makondo ndie Kamishna Mpya wa Ardhi.. Rais pia Kateua Mthamini Mkuu wa Serikali.. #share..



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Stephen J. Nindi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC)

Taarifa iliyotolewa na Kaimu Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Moses M. Kusiluka imeeleza kuwa uteuzi huo umeanza tarehe 16 Juni 2017.

Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Stephen J. Nindi alikuwa akikaimu nafasi hiyo.

About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search