bREAKING nEWS: Wafuasi CUF 'watwangana makonde' Mahakama Kuu Jijini Dar es Salaam.. #share

Hali ya sintofahamu imejitokeza asubuhi ya leo kati ya wanaoaminika kuwa ni Wafuasi wa CUF wanaomuunga mkono Maalim Seif na wanaomuunga mkono Prof Ibrahim Lipumba na kulazimika kutwangana makonde walipokutana Mahakama Kuu leo.


wananchama hao walifika Mahakamani hapo kufuatilia shauri lililofunguliwa na Wabunge wanane wa Chama hicho upande wa Maalim kupinga kufutwa uanachama sambamba na kuzuia kuapishwa kwa Wabunge wapya walioteuliwa kujaza nafasi zao.



About Author Matukio360

Matukio360 ni sehemu pekee inayokuletea matukio ya moto moto kutoka pande zote za dunia katika wakati ule ule yalipotokea yaani mubashara. Habari ni za uhakika na zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na kuandikwa kwa ueledi mkubwa na sio ukanjanja. Usibanduke katika ukurasa huu wa Matukio360, wajulishe na marafiki zako sasa wajipatie habari za uhakika.

No comments:

Post a Comment

Leo leo Plus

Start typing and press Enter to search